New AUDIO | Harmonize Ft Rudeboy – Best Couple | Download
Mkali wa muziki Harmonize kutoka Tanzania Amemshirikisha msanii wa Nigeria Rudeboy rasimi wameachia wimbo mpya kabisa wa kimataifa unaoitwa Best Couple, Wimbo huo, uliozinduliwa rasmi mnamo Juni 2025, tayari unavuma barani Afrika kwa mdundo wake wa kuvutia, mashairi ya nguvu, na kina kihisia ambacho huadhimisha upendo, uaminifu na ushirikiano.
djmakisstz ni tovuti ya muziki na burudani kutoka Tanzania iliyoundwa mahsusi kwa miziki yote ya Kiafrika Tovuti hii ina Muziki na Muziki wa Kiafrika unaovuma hivi karibuni kutoka nchi nyingine za Kiafrika.
karibu Ujiunge nasi kwenye tovuti yetu ufurahie muziki bora Afrika pakua nyimbo mpya na usikilize kupitia tovuti ya DJ Makiss Tz. kumbuka kuwa tovuti hii ni maalum kwa kila aina ya nyimbo kutoka kwa wasanii mbalimbali kutoka inchi zote za afrika.
0 Comments