Msanii Ibraah amefunguka baada ya Kutoka Basata - DJ Makiss Music - New Songs Download

Msanii Ibraah amefunguka baada ya Kutoka Basata

Asante kwa shauku yako katika Makiss Music, mahali pako salama pa kusambaza muziki wako. Tunathamini maswali, maoni na maswali yako Jisikie huru kuwasiliana nasi kupitia njia zifuatazo Usaidizi kwa Wateja WhatsApp +255718308551 Chat ya Moja kwa Moja Inapatikana kwenye tovuti yetu saa za kazi
Msanii Ibraah amefunguka baada ya Kutoka Basata

Msanii Ibraah amefunguka baada ya Kutoka Basata Kwenye Kikao cha pili kilichofanyoka Leo, Ibraah amesisitiza kuwa malalamiko na kila kitu tayari wamewaachia Basata


''aah tumefanya mazungumzo lakini kikubwa ni tuwaachie baraza la sanaa mpaka watakapo kuwa na uamuzi sahihi kuhusu hili mimi namshurukuru mwenyezi mungu kwasababu tulipo fikia n mahali pazuri zaidi Alisema Ibraah

Post a Comment

0 Comments