Ads Area

WhatsApp Jiunge Bonyeza hapa

Msanii Ibraah amefunguka baada ya Kutoka Basata

Asante kwa kuingia kwenye Tovuti ya DJ Makiss kutoka MBEYA TANZANIA, sehemu yako kuu ya usambazaji wa muziki. Tunathamini maswali yako, maoni, na maswali Jisikie huru kuwasiliana nasi kupitia njia zifuatazo Huduma kwa Wateja WhatsApp, SMS Na SIM +255718308551, Maongezi Yanapatikana kwenye tovuti yetu muda wowote
Msanii Ibraah amefunguka baada ya Kutoka Basata

Msanii Ibraah amefunguka baada ya Kutoka Basata Kwenye Kikao cha pili kilichofanyoka Leo, Ibraah amesisitiza kuwa malalamiko na kila kitu tayari wamewaachia Basata


''aah tumefanya mazungumzo lakini kikubwa ni tuwaachie baraza la sanaa mpaka watakapo kuwa na uamuzi sahihi kuhusu hili mimi namshurukuru mwenyezi mungu kwasababu tulipo fikia n mahali pazuri zaidi Alisema Ibraah

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.