Ads Area

WhatsApp Jiunge Bonyeza hapa

Rayvanny ameshare kionjo cha wimbo wake mpya ambao amewashirikisha manguli wa muziki Harmonize na Marioo

Asante kwa kuingia kwenye Tovuti ya DJ Makiss kutoka MBEYA TANZANIA, sehemu yako kuu ya usambazaji wa muziki. Tunathamini maswali yako, maoni, na maswali Jisikie huru kuwasiliana nasi kupitia njia zifuatazo Huduma kwa Wateja WhatsApp, SMS Na SIM +255718308551, Maongezi Yanapatikana kwenye tovuti yetu muda wowote
Rayvanny ameshare kionjo cha wimbo wake mpya ambao amewashirikisha manguli wa muziki Harmonize na Marioo

Rayvanny ameshare kionjo cha wimbo wake mpya ambao amewashirikisha manguli wa muziki Harmonize na Marioo

Msanii wamuziki wa Bongo fleva na CEO wa Nextlevel Music Rayvanny ameshare kionjo cha wimbo wake mpya ambao amewashirikisha manguli wa muziki Harmonize na Marioo, Rayvanny kupitia ukurasa wake wa Instagram amechapisha kipande kidogo sana cha sekunde kadhaa kisha kuacha ujumbe wakuwauliza mashabiki 'Ngoma itoke Lini?"


Unazani nani atafunika wenzake humu ndani kati ya Rayvanny, Harmonize na Marioo?

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.