Albam mpya ya Jay Melody iitwayo Addiction ameachia rasmi leo - DJ Makiss Music - New Songs Download

Albam mpya ya Jay Melody iitwayo Addiction ameachia rasmi leo

Asante kwa shauku yako katika Makiss Music, mahali pako salama pa kusambaza muziki wako. Tunathamini maswali, maoni na maswali yako Jisikie huru kuwasiliana nasi kupitia njia zifuatazo Usaidizi kwa Wateja WhatsApp +255718308551 Chat ya Moja kwa Moja Inapatikana kwenye tovuti yetu saa za kazi
Albam mpya ya Jay Melody iitwayo Addiction ameachia rasmi leo

Albam mpya ya Jay Melody iitwayo Addiction ameachia rasmi leo, Ijumaa tarehe 9 Mei 2025 Hii ni albam yake ya pili baada ya Therapy

Albamu hiyo imewashirikisha manguli watatu wa muziki Tanzania: Alikiba, Mwana FA na Jux Ushirikiano huu unaonyesha dhamira ya Jay Melody ya kuchagua ubora badala ya wingi. 

Albam mpya ya Jay Melody iitwayo Addiction ameachia rasmi leo

Albamu hii ni uthibitisho kuwa Jay Melody si tu msanii wa sauti nzuri, bali pia mbunifu na msimulizi wa hadithi anayeendelea kuleta mapinduzi katika muziki wa Bongo Fleva.


Na hizi ndiyo Track List zake


1.Hawatoi | Download 

2.I Don’t Know | Download 

3.Nishalowa Featuring Alikiba | Download 

4.Hujaona Bado

5.My Dearest Featuring Jux | Download 

6.Mtoto | Download 

7.Jirani | Download 

8.Kiguu Na Njia | Download 

9.Nazama | Download 

10.Tila Lila Featuring Mwana FA | Download 

11.Sina | Download 

12.Mara Ya Kwanza | Download 

Upi wimbo wako pendwa kutoka kwenye hii Album ?

Post a Comment

0 Comments